-
Kiswahili Mufti Kioo cha Mtihani Mwongozo wa Mwalimu by Joseph Mwamburi, Wallah …
by Joseph Mwamburi, Wallah Bin Wallah
Kiswahili Mufti 8: Mwongozo we Mwalimu unampa mwalimu maelezo kamili kuhusiana na mbinu mwafakaza kutayarisha, kuendesha na kutathmini vipindi vya Kiswahili darasani. Mwongozo huu mpana sana unampa mwalimu maelekezo mwafaka yatakayomwezesha kuviandaa na kuviendesha vizuri vipindi vinavyoshughulikia vipengele vifuatavyo:
Mwongozo huu una mifano mwafaka ya maazimio ya kazi na ratilp ya vipindi itakayomwongoza mwalimu kuzingatia mbinu zifaazo za kutekeleza malengo yote ya somo. Pia, una majibu ya maswali yote yaliyomo kwenye kitabu cha wanafunzi.KSh754.00 -
Kiswahili Sanifu Darasa la 8 by Bakhressa
by Bakhressa
Kiswahili Sanifu (toleo jipya) ni kozi inayotokana na utafiti wa kina kuhusu mahitaji ya wanafunzi wa shule za msingi katika kujifunza lugha ya Kiswahili. Kozi hii itawawezesha wanafunzi kuinua viwango vyao vya msamiati. Pia itawapa fursa ya kupata na kutumia katika maisha yao maarifa mbalimbali watakayojifunza. Isitoshe, kozi hii itawapa nafasi ya kusoma kwa matengo anuwai na kujieleza kikamilifu wakitumia lugha ya Kiswahili sanifu.KSh695.00 -
Learning IRE Std 8 by Salim M. Abdulrehman
by Salim M. Abdulrehman
Salim M. Abdulrehman is a retired tutor with a bank of experience in the teaching of Islamic Religious Education. He is a member of Kenya Institute of Education (K.I.E.) I.R.E. Panel. He is the author of I.R.E. Primary Course Book Series 1- 8.KSh360.00 -
Learning Mathematics Std 8 by Vashishta
by Vashishta
KSh290.00Learning Mathematics Std 8 by Vashishta
KSh290.00 -
Lets Learn Mathematics Std 8 by Mbiruru
by Mbiruru
KSh660.00Lets Learn Mathematics Std 8 by Mbiruru
KSh660.00 -
-
Living Together Social Studies 8 by Zavani
by Zavani
The following outstanding features make the Longman Living Together Social Studies series easy to teach and-easy to useKSh694.00 -
Macmillan Primary Science Std 8
Moran Primary Science is a popular and successful course for pupils learning science in Kenya.The course has been written to meet the specific requirements of the 2002 Primary Science Syllabus.The books include all the latest developments in the teaching and learning of the subject. As well as providing information, these colourful books involve pupils in useful observations, discussions and activities that help develop scientific skills and attitudes as well as knowledge.
The course:
The Teacher’s Books supplement the Pupil’s Books, and provide the aims and objectives for each topic, useful background information, suggestions on teaching methods, assessment tasks, and information on the use of available resources, as well as answers to the exercises in the Pupil’s Books.KSh550.00Macmillan Primary Science Std 8
KSh550.00 -
Masomo ya Msingi Darasa la 8 by Waweru
by Waweru
Masomo ya Msingi 8 ni kitabu cha none katika mfululizo wa vitabu vinane vya Kiswahili katika Shute za Msingi. Kilo kimoja cha vitabu hivi Kinakuza masomo ya kitabu kinachofuata. Vitabu hivi vimeandikwa kulingana na matarajio ya ratiba iliyotolewa na taasisi ya elimu (2002). Michoro iliyomo katika kitabu hiki ni ya kupendeza kwa kilo mwanafunzi anayejifunza Kiswahili. Kitabu hiki kinafundisha lugha kutegemea stadi na maarifa kama inavyopendekezwa na taasisi ya Elimu ya Kenya. Mifano iliyotolewa ni ile ambayo mwanafunzi anakumbana nayo katika maisha yoke ya kila siku. Masomo yaliyomo katika Masomo ya Msingi 8 yamepangwa kulingana na mgawo wa stadi zilizoko kwenye silabasi. Kila sura katika kitabu hiki imegawika kama ifuatavyo: A. Ufahamu B. Sarufi C. Msamiati D. Kusikiliza no kuongea E. Kuandika Kitabu hiki kimejengwa katika misingi thabiti ya hatua kwa hatua, hali ambayo itamwezesha mwanafunzi kusoma taratibu na katika hali ya kujiendeleza. Mna pia mazoezi ya kutosha ya kumjenga mwanafunzi ipasavyo. Waandishi wa mfululizo huu wa Masomo ya Msingi ni wenye tajriba kuu katika ualimu na wanayafahamu mahitaji ya wanafunzi waiiowaandikia. Ni matumaini yetu kwamba mfululizo wa masomo haya utakuwa mwangaza kwa wote.KSh545.00Masomo ya Msingi Darasa la 8 by Waweru
KSh545.00 -
Maths Aid Std 8 Answer Book by M.S.Patel
by M.S.Patel
KSh180.00Maths Aid Std 8 Answer Book by M.S.Patel
KSh180.00 -
Maths Aid Std. 8-New edition 2014 by M.S. Patel
by M.S. Patel
KSh390.00 -
Mazoezi na Marudio Mufti ya Kiswahili 8 by Wallah Bin Wallah
by Wallah Bin Wallah
Mazoezi na Marudio Mufti ya Kiswahili, Darasa la 8 ni kitabu kilichoandikwa kwa weledi mkuu kwa madhumuni ya kumwandaa na kumnoa mwanafunzi anayejitayarisha kwa mtihani wa somo la Kiswahili – K.C.P.E. Kitabu hiki kimeandikwa kwa kuzingatia silabasi mpya ya shuleza msingi. Kinalenga kuhamasisha na kupiga msasa usasa wa kutoa mazoezi na marudio kwa wanafunzi na wote wanaosoma lugha ya Kiswahili katika Afrika Mashariki, ujirani wake na kote ulimwenguni.Kitabu hiki kimezingatia msamiati mwafaka na sahihi, miundo, mitindo na mbinu zinazotumiwa katika kuandaa na kutahini somo la Kiswahili katika ngazi ya K.C.P.E.Kwa mwalimu, kitabu hiki chenye karatasi themanini (80) za maswali ya mazoezi ya K.C.P.E pamoja na majibu yake ni nyenzo ya kipekee ya kuwatathmini, kuwaboresha na kuwaandaa wanafunzi kwa mtihani wa kitaifa. Katika maswali haya mna mazoezi ya mazoea, uzoefu na kuzoesha ili mwanafunzi au yeyote akitumiaye kitabu hiki apate kichocheo, mwamko na hamu kiasi cha kwamba akimaliza zoezi moja aendelee kufanya jingine na jingine hadi ajikute amekuwa mzoefu wa mazoea ya kufanya mazoezi ya Kiswahili Mufti.Vivuto na vivutio halisi katika kitabu hiki ni jinsi maswali yalivyoulizwa kwa namna ya kuchangamsha na kudadisisha. Fauka ya hayo, vifungu vya ufahamu vina upekee kwa maana ya kuhekimisha, kushajiisha, kunasihi na kuarifisha, kwa maarifa kemkemu.KSh788.00 -
Moran Primary CRE Std 8 by Wanaswa
by Wanaswa
Moran Primary CRE has been written specifically to cover the new Christian Religious Education syllabus. It sensitises primary pupils to the major issues involved in spiritual and character development in a new, tailor-made way. This eight-level course comprehensively covers the syllabus. Topical emerging issues such as HIV/AIDS, anti-corruption, child and human rights are infused carefully and sensitively. The course:KSh505.00Moran Primary CRE Std 8 by Wanaswa
KSh505.00 -
KSh585.00
-
-
Msururu wa targeter kumbukumbu za kiswahili ;Kitabu cha … by Symon M.Gatheru
by Symon M.Gatheru
Msururu wa Targeter Kiswahili DarasaKSh420.00 -
New Beginning IRE 8
New Beginning IRE, Pupil’s Book 8, is part of an exciting series that comprehensively covers the new Islamic Religious Education (IRE) Syllabus for primary schools. The series emphasizes a practical approach to Islam according to the teachings of the Qur-an and the Sunnah of the Prophet (S.A.W.). The series will enable the learners to understand Islam and will inspire them to have a positive attitude towards life.
KSh673.00New Beginning IRE 8
KSh673.00 -
New Beginning IRE Std 8 Trs by Islam
by Islam
New Beginning IRE, Teacher’s Book 8, provides approaches in teaching Islamic Religious Education (IRE) in primary schools following the requirements of the new syllabus.
It will equip the teacher with necessary information and skills to handle learners with special needs. There are numerous activities in the series that will encourage teachers to explore various means of imparting knowledge and making IRE a practical subject in life.KSh464.00New Beginning IRE Std 8 Trs by Islam
KSh464.00 -
New Horizon CRE Workbook 8 by Wairimu
by Wairimu
KSh406.00New Horizon CRE Workbook 8 by Wairimu
KSh406.00 -
New Horizon Mathematics Workbook 8 by Muturi
by Muturi
New Horizon Mathematics workbook 1-8 is a new series which has been prepared to teach Mathematics in an interesting and enjoyable way. This new series comprehensively covers the new Primary School Mathematics Syllabus. The series was developed by competent teachers who have exploited their classroom experience in addressing all the needs of the learners. New Horizon Mathematics workbook 8 provides:KSh522.00 -
KSh406.00
New Horizon Science Workbook 8 by Owino
KSh406.00 -
New Primary English Std 8
New Primary English Std 8
KSh590.00KSh690.00New Primary English Std 8
KSh590.00KSh690.00 -
-
New Progressive Primary English 8 by Muitungu
by Muitungu
New Progressive Primary English (NPPE) is the result of thorough research into the language needs of all children learning English. It is skilfully prepared to enable the learners to acquire listening, speaking, reading and writing skills as easily as possible. The course also aims at:KSh690.00 -
Nipashe Kiswahili marudio kamili ya KCPE darasa la … by L.G.gakono Muriuki Gikun…
by L.G.gakono Muriuki Gikunju
NIPASHE KISWAHILI marudio kamili ya KCPE ni kitabu kilichoshughulikiwa na kuandikwa kwa utaalamu Mwingi ili kumwandaa mwanafunzi vilivyo kukabiliana na mtihani wa kiswahili katika KCPE.KARATASI ZOTE MBILI (Lugha na Uandishi) zimeshughulikiwa kupitia:-KSh600.00 -
-
One in Christ Std 8 Teacher’s book
The ONE IN CHRIST TEACHERS’ GUIDES are the joint effort of the Kenya Catholic Secretariat (KCS), The Christian Churches’ Educational Association (CCEA) and The Seventh Day Adventist (SDA) Church. The books are designed to guide the teacher in covering the recommended Primary Christian Religious Education Syllabus. They provide the recommended teaching procedure for each lesson and suggestions on pupils’ activities. The books use the Life Approach Method, which helps the pupils to apply whatever they learn to their daily lives. The guides have the following key features: General aims of the course which will assist the teacher in making schemes of work. Objectives which guide the teacher in lesson planning. Suggested lesson development sequence. Cover all the lessons in the pupils’ book and more. Songs and stories which make C.R.E. fun and interesting.
KSh495.00One in Christ Std 8 Teacher’s book
KSh495.00 -
Our lives today social studies 8 teacher’s book by Cephas C.Kamau,Maryclair…
by Cephas C.Kamau, Maryclaire Indire, Gideon M.Ombongi, Feliciana Rutere
Our Lives Today: Social Studies is an innovative series that fully meets the needs of Social Studies learners in primary school. This series has been developed in conformity with the revised Social Studies syllabus.The Teacher’s Book for Class Eight will help you use the Pupil’s Book more effectively. It provides teaching approaches that will enable the learners to correctly interpret each topic.This comprehensive guide also provides expected answers to the exercises and activities in the Pupil’s Book.KSh408.00 -
Our Lives Today Social Studies Std 8 by Kamau
by Kamau
Our Lives Today: Social Studies is an innovation series that exhaustively addresses the objectives and requirements of the revised Social Studies syllabus. The series combines knowledge acquisition with fun elements to deliver an exciting learning experience. Developed by a team of subject experts and experienced teachers, this series aims at moulding learners that are well prepared for examinations and confident in their knowledge of the environment.
Our Lives Today: Social Studies 8 offers:KSh707.00 -
Physical Education A Teacher’s Guide for Standard Eight … by The Jomo Kenyatta Founda…
by The Jomo Kenyatta Foundation
Physical exercise and intellectual growth are inseparable.This New Physical Education Series contains a variety of activities designed to develop the learner’s physical. intellectual, and emotional skills.The series provides carefully designed teaching and learning experiences and assessment techniques in line with the needs of the new primary school syllabus. The books are fully illustrated.
Special features include,
• Activities to support multi-ability learning.
• Emphasis on the use of low cost improvised teaching resources.
• A comprehensive methodology with instructions on teaching approaches, development of skills, presentation, of activities. teaching steps and a sample lesson plan format.
• Suggestions on how to accommodate children with special needs.KSh710.00